1 Kings 9:15
15 aHaya ni maelezo kuhusu kazi za kulazimishwa ambazo Mfalme Sulemani, alivyowafanyiza watu ili kulijenga hekalu la Bwana, na jumba la kifalme yake mwenyewe Milo, ▼▼ Milo maana yake Boma la Ngome, pia 9:24.
ukuta wa Yerusalemu, Hazori, Megido na Gezeri.
Copyright information for
SwhKC