1 Kings 9:15

15 aHaya ni maelezo kuhusu kazi za kulazimishwa ambazo Mfalme Sulemani, alivyowafanyiza watu ili kulijenga hekalu la Bwana, na jumba la kifalme yake mwenyewe Milo,
Milo maana yake Boma la Ngome, pia 9:24.
ukuta wa Yerusalemu, Hazori, Megido na Gezeri.
Copyright information for SwhKC